Nani kasema majani ya shida huku? Eneo lote limezungukwa na nyasi ndefu mno, hivyo hakuna haja ya kuzileta nyumbani tena. Mara nyingi wadudu wanazifuata, nani ataka karaha ya kufukuza siafu kila siku?
Karibuni kwesui katika wilaya ya Kilindi, Tanga.
Nyasi za nini wakati sayansi ishamaliza yote? Harufu na watoto kucheza karibu ndio tatizo tu. Kwani wahenga walisema usichezee shilingi ....

Alama ya kanisa pale Tunduru, wilaya maarufu kwa kuwa na Simba wa mjini. Wadau nisaidieni nini maana ya kuweka alama hii sehemu kama hii.
1 comment:
Hapa kweli nimepakubali sana. Yaani napatashida hasa nikiwa na kumbukumbu za Msemo ule usemao Tanga waja leo waondoka leo. Mmmh!! Hapo kweli waondoka leo.
Post a Comment