Wednesday, January 30, 2008

 
 
 
 

Nimefurahishwa sana na matumizi makubwa ya pikipiki katika mji huu. Hata kama una gari utajitahidi tu kusafirisha mizigo kwa kutumia tuk-tuk.

Kule Songea naona walikuwa wanaelekea kuwa kama hawa kwani yeboyebo zao zilivoma sana.

Pengine ni umasikini unaosababisha haya yote, ila ni bora zaidi kama usafiri huu utakuwa salama, sheria za barabarani zikaheshimiwa na wao wakalindwa.
Posted by Picasa
 

Kitimoto nao wanasafirishwa kama kuku.
Posted by Picasa
 


Usafifi si mpaka uwe na pick-up, laiti guta lingekuwepo ni biashara tu.
Posted by Picasa





Nilipo kuwa Namtumbo na Tunduru katikati ya mwaka 2007.

Katika Ushoroba wa Selous - Niassa, kama waitavyo uchochoro (corridor) wa wanyama pori kati ya Mbuga za Selous ya Tanzania na Niassa ya Msumbiji.
Helo waungwana, nimerudi tena kwenye Blogu baada ya kitambo kirefu.

Maoni, mawazo, ushauri na maswali yanakaribishwa sana.