Wednesday, March 02, 2011


Simu hii Nokia 1203 ya mwaka 2009 yauzwa kwa bei nzuri tu. Kama inavyoonekana ina michubuko kidogo kwenye namba (number pad), imetumiwa na mtumiaji mmoja tu.

Haijawahi kuwa na tatizo la network kwa kipindi chote cha kuwa kwa huyo mmiliki. Kwa anayeihitaji aweza tuma ujumbe kwenye hii blog.
Posted by Picasa

No comments: